Malengo ya Mfuko

Lengo kuu la Mfuko ni kuinua ubora wa kazi za Utamaduni na Sanaa ili ziweze kujiendesha kibiashara na kutengeneza ajira nchini. Aidha, malengo mahsusi ni 

  1. Kutoa huduma za mikopo, ruzuku na dhamana kwa walengwa; na
  2. Kutoa mafunzo kwa walengwa ili wapate ujuzi wa kufanya kazi zao kwa weledi na kuongeza tija.