Idara

Idara ya Uendeshaji

Inasimamia shughuli zote za kutoa na kusimamia Mikopo kwa Wateja..

Idara ya Fedha na Uhasibu

Inatoa utaalam na huduma kuhusu masuala ya usimamizi na utunzaji wa fedha kwa Taasis.

Idara ya Utawala na Rasilimali Watu

Inatoa huduma ya msaada wa ndani kama vile utawala, usimamizi wa rasilimali watu

Idara ya Mipango

Kinatoa utaalamu, ushauri na huduma za uaandaji na utekelezaji wa Mipango na bajeti kwa Taasisi.